Yesu ni nani Halisi?

Ukweli kuhusu Yesu Kristo.

  • Kiingereza Home
  • Swahili Home
  • Kutuma Maoni

Yesu Alikuwa mtu Kweli?

Uamuzi wa Wasomi

Clifford Herschel Moore, profesa katika Chuo Kikuu cha Harvard, alisema Uhakiki wa Historia ya Yesu, pia Ukristu ulimjua Mwokozi na Mkombozi wake sio kama baadhi ya miungu ambao historia zao ziliwekwa kwa imani za kizushi. …Yesu alikuwa ni wa kihistoria na si kiumbe cha kizushi. Hakuna uzushi wa mbali au wa kimakosa uliojiingiza kwa mwamini wa kikristu; imani yake ilianzishwa kwenye ukweli endelevu, wa kihistoria na unaokubalika”[16]

Ni wachache ikiwa wapo wanahistoria wa kweli wanakubaliana na Ellen Johnson na madai ya Berttrand Russell kwamba Yesu hakupata kuwapo. Uhakiki zaidi kumbukumbu za maisha ya Yesu na waandishi wa wakati huo, mchango wake mkuu kihistoria, na ushahidi wa kuhakikisha unaonekana umewashawishi wasomi kwamba Yesu kweli alikuwapo. Uzushi ungeweza kufanya yote hayo? Wote isipokuwa wakosoaji wachache wakali wanasema hapana.

Dr. Michael Grant wa Cambridge ameandika, “Kuweka pamoja, njia za kisasa za kidadisi zimeshindwa kukubaliana na dai la uzushi wa Kristo. Imejibiwa tena na tena na imeharibiwa kwa maneno na wasomi wa ngazi ya juu.’Katika miaka ya hivi karibuni hakuna msomi wa dhati amethubutu kudai kutohakikiwa historia ya Yesu.”[17]

Mwanahistoria ya Chuo cha Yale Jaroslav Pelikan alitangaza, “Bila kujali kile mtu yeyote anachoweza kufikiri binafsi au kuamini kuhusu Yeye, Yesu wa Nazareth amekuwa mhusika mkuu katika historia ya utamaduni wa magharibi kwa karibu karne ishirini. …Tangu kizazi chake kwamba mengi ya mataifa ya mwanadamu yanaweka kalenda yake kwa jina lake, mamilioni wanamlaani na pia katika jina lake mamilioni wengine wanasali.”[18]

Je ni kweli Yesu alifufuka toka katika Wafu?

Swali kubwa kabisa la wakati wetu “Nani ni Yesu Kristo kweli?” Alikuwa mtu tu wa pekee, au alikuwa Mungu katika mwili, kama Paulo, Yohana, na wafuasi wake walivyoamini? (Angalia “Yesu ni Mungu?“)

Mashahidi wa macho kwa Yesu Kristo kwa kweli walizungumza na walitenda kama walivyoamini, aliinuka kimwili toka katika wafu baada ya kusulubiwa kwake. Ikiwa hawakuwa sahihi basi Ukristu umejengwa katika uongo. Lakini kama walikuwa sahihi, muujiza huo ungethibitisha yote Yesu alisema kuhusu Mungu, yeye mwenyewe na sisi.

Lakini lazima tuchue ufufuko wa Yesu Kristo kwa imani pekee, au kuna ushahidi mzito wa kihistoria? Wakosoaji wachache walianza uchunguzi kwenye rekodi za kihistoria kuthibitisha maelezo ya ufufuko ni uongo. Ni kitu gani waligundua?

Kulikuwa na Hila za Da Vinci ?

“Mona Lisa’s Smirk” inachunguza dhana ya hila inayoongoza duniani kuhusu Yesu Kristo. Je, Yesu na Maria Magdalena waliooana? Je, Constantine aliamuru kuharibiwa kwa rekodi za kweli za Yesu Kristo na kutambua kuwa Mungu wakristu wanavyomwabudu leo?

Bonyeza hapa kugundua ukweli kuhusu Hila za Da Vinci?

Je, Yesu alisema kitu gani kinatokea baada ya sisi kufa?

Ikiwa ni kweli Yesu alifufuka toka katika Wafu, basi lazima ajue kitu gani kipo upande mwingine. Ni kitu gani alisema kuhusu maana ya maisha na siku zetu zijazo? Kuna njia nyingi kwenda kwa Mungu au Yesu alidai kuwa njia pekee? Soma majibu ya kushangaza “Kwanini Yesu?”

Bonyeza hapa kusoma “Kwanini Yesu?” na gundua kile Yesu alisema kihusucho maisha baada ya kifo.

Je, Yesu anaweza leta maana katika maisha?

“Kwanini Yesu? inaangalia suala la kwamba Yesu ni muhimu leo. Je, Yesu anaweza kujibu swali kubwa la maisha: “Mimi ni nani?” “Kwani niko hapa?” na, Wapi ninaenda?” Makanisa yaliyokufa na misalaba imewaongoza wengine kuamini kwamba hawezi, na kwamba Yesu ametuacha sisi kuendana na dunia iliyo nje ya uwezo wetu kuidhibiti. Lakini Yesu amefanya madai kuhusu maisha na madhumuni yetu hapa dunani ambayo yanahitaji kuchunguzwa kabla hatujamkataa kama asiyejali na asiye na nguvu. Makala hii inachunguza siri ya kwanini Yesu alikuja duniani.

Bonyeza hapa kwa ajili ya kudai zaidi fantastic milele alifanya – ya ufufuo wa Yesu Kristo!

Bonyeza hapa hebu kujua jinsi makala hii imesaidia wewe.
Bonyeza hapa hebu kujua jinsi makala hii imesaidia wewe.


« Previous | Next »

Pages: 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10

Yesu ni nani Halisi?

  • Yesu Alikuwa mtu Kweli?
  • Kulikuwa na Hila za Da Vinci?
  • Yesu ni Mungu?
  • Injili ni za Kweli?
  • Yesu Alikuwa Masiha?
  • Je, Yesu Alifufuka toka Katika Wafu?
  • Yesu ni Muhimu Leo?

MASWALI ZAIDI KUHUSU YESU

  • Yesu na Maria Magdalena: Walikuwa na ndoa ya siri?
  • Injili za Siri: Kuna maandiko ya siri kuhusu Yesu?
Copyright © 2023 - JesusOnline
Menu
  • Yesu Alikuwa mtu Kweli?
  • Kulikuwa na Hila za Da Vinci?
  • Yesu ni Mungu?
  • Injili ni za Kweli?
  • Yesu Alikuwa Masiha?
  • Je, Yesu Alifufuka toka Katika Wafu?
  • Yesu ni Muhimu Leo?
  • Yesu na Maria Magdalena: Walikuwa na ndoa ya siri?
  • Injili za Siri: Kuna maandiko ya siri kuhusu Yesu?