Mbabaishaji tapeli asiyewezekana
Hivyo ni kitu gani tufanye kuhusu Yesu kutimiza tabiri nyingi sana zilizoandikwa mamia ya miaka kabla ya kuzaliwa kwake? Leonardo DiCaprio … Ninamaanisha, Frank Abagnale anaweza kuwa msanii mbabaishaji mzuri, lakini alikamatwa kipindi alipokuwa mzee kiasi cha kunywa bia kihalali.
Yesu haonekani kama alivyo mtaalamu Frank Abagnale. Yuko katika aina tofauti kabisa. Hakuna mbabaishaji angeweza kushinda nafasi hizo kama zile zilizowasilishwa na utabiri wa kiebrania.
Na hiyi inamaanisha nini? Hitimisho mbizi zinajitokeza: Kwanza, ni kiumbe cha mbali kingeweza kuelekeza matukio haya. Na pili, inafanya madai yote mengine ya Yesu yawe na maana na thamani ya kuangaliwa kwa dhati.
Katika Injili ya Yohana, Yesu alifanya dai, “Mimi ni njia, ukweli na uzima.” Ushahidi mzito unaonekana kuonesha kwamba uthibitishaji katika habari hiyo si wa kugushi.
Je, ni kweli Yesu alifufka toka katika Wafu?
Swali kubwa zaidi la wakati wetu “Nani ni Yesu Kristo wa kweli?” Alikuwa tu mtu wa pekee, au alikuwa Mungu katika mwili, kama Paulo, Yohana na wafuasi wake waliomini?
Mashahidi wa macho kwa Yesu Kristo kwa kweli walizungumza na walitenda kama walivyoamini, aliinuka kimwili toka katika wafu baada ya kusulubiwa kwake. Ikiwa hawakuwa sahihi basi Ukristu umejengwa katika uongo. Lakini kama walikuwa sahihi, muujiza huo ungethibitisha yote Yesu alisema kuhusu Mungu, yeye mwenyewe na sisi.
Lakini lazima tuchukue ufufuko wa Yesu Kristo kwa imani pekee, au kuna ushahidi mzito wa kihistoria? Wakosoaji wachache walianza uchunguzi kwenye rekodi za kihistoria kuthibitisha maelezo ya ufufuko ni uongo. Ni kitu gani waligundua?
Je, Yesu alisema kitu gani kinatokea baada ya sisi kufa?
Ikiwa ni kweli Yesu alifufuka toka katika Wafu, basi lazima ajue kitu gani kipo upande mwingine. Ni kitu gani alisema kuhusu maana ya maisha na siku zetu zijazo? Kuna njia nyingi kwenda kwa Mungu au Yesu alidai kuwa njia pekee? Soma majibu ya kushangaza “Kwanini Yesu?”
Bonyeza hapa kusoma “Kwanini Yesu?” na gundua kile Yesu alisema kihusucho maisha baada ya kifo.
Ni kweli Yesu alifufuka toka katika Wafu?
Mashahidi wa macho kwa Yesu Kristo kwa kweli walizungumza na walitenda kama walivyoamini, alifufuka toka katika wafu baada ya kusulubiwa kwake. Ikiwa walikosea basi uKristu umeanzishwa kwa uongo? Lakini kama walikuwa sahihi, muujiza huo ungethibitisha yote Yesu aliyosema kuhusu Mungu, kuhusu yeye na kutuhusu sisi.
Lakini ni lazima tuamini ufufuko wa Yesu Kristo kwa imani pekee, au kuna ushahidi wowote wa kihistoria? Wakosoaji kadhaa walianza uchunguzi kwenye kumbukumbu za kihistoria kujaribu kuona kama kweli maelezo ya ufufuko yalikuwa uongo. Kitu gani waligundua?
Kuangalia ushuhuda wa madai makuu yaliyowahi kufanyika ya ufufuko wa Yesu Kristo!
Bonyeza hapa kwa ajili ya kudai zaidi fantastic milele alifanya – ya ufufuo wa Yesu Kristo!
« Previous | Next »